Kamilisha Lengo la kusoma Biblia pamoja nasi.

Fahamu namna Mungu ameamua kujifunua (Kujiweka wazi kwa vizazi vyote) kupitia maandiko ya Vitabu vya Biblia. Soma na elewa vizuri ufunuo wa Mungu uliopo katika Biblia na ishi sawasawa na ufunuo huo. 

Elewa Ufunuo katika Biblia

Kupitia mwongozo na ufafanuzi wa vitabu vya biblia

Uishi Ufunuo wa Mungu

Zaidi katika uanafunzi wa mada mbalimbali

Mfananie Kristo yesu

Kimawazo, nia yako, fikra zako, mitazamo yako, matarajio yako, matendo yako, n.k

Biblia na Kanisa ni Nini?

Tovuti ya “Biblia na Kanisa” ni rasilimali muhimu inayolenga kufafanua na kutoa mwongozo kuhusu Biblia na masuala yanayohusiana na kanisa. Hapa, tunatoa ufafanuzi wa kina kuhusu ufunuo wa Mungu uliopo katika Biblia na jinsi ya kuishi kulingana na mafundisho hayo. Kwa kuangalia sehemu zetu mbalimbali, utapata mwongozo na ufahamu wa jinsi ya kusoma na kuelewa Biblia kwa undani, pamoja na mafundisho ya kanisa kuhusu maadili, huduma, uongozi, na mambo mengine muhimu. Tunaalika wasomaji kushiriki safari hii ya kujifunza na kuwa sehemu ya jamii ya waamini wanaojifunza.

Mwongozo & Ufafanuzi

Maelezo ya namna ya kusoma kitabu husika na maelezo ya kina ya maana ya ujumbe wa kitabu cha Biblia

Uanafunzi

Jifunze ujumbe wa jumla wa Biblia kuhusiana na mada muhimu sana kwa kila mwamini kuzielewa katika Biblia

Kanisa

Fahamu kuhusu mafundisho mbalimbali yanayohusiana na kanisa kama vile nini maana ya kanisa, nini kusudi la kanisa n.k

Elewa zaidi biblia kupitia mwongozo na ufafanuzi.

Fahamu Mwandishi, waandikiwa, sababu za kutolewa ujumbe, mpangilio wa ujumbe wa mwandishi na mfululizo wa mawazo wa mwandishi, zaidi maelezo ya maana ya kila mstari, aya na sura katika kitabu husika katika Biblia.

Kuwa bora katika Imani.

Jifunze ujumbe wa jumla wa Biblia kuhusiana na mada muhimu sana kwa kila mwamini kuzielewa katika Biblia

A man reading Bibble -Biblia na Kanisa

Fahamu kwa undani kuhusu Kanisa.

Fahamu maana, kusudi la kanisa, njia za kibiblia za kanisa Kutimiza makusudi yake, Shughuli za Kanisa, Kanisa na matumizi ya Fedha na rasilimali, Kanisa na ushirika, Uongozi katika Kanisa, n.k

Biblia na Kanisa

Uelewe ufunuo wa Mungu ulio katika Biblia na ishi sawasawa na ufunuo huo ukimlingana Yesu Kristo!